Vipindi

0 comments


Vipindi Vyetu
S/n
Kipindi
1.
MAGAZETINI  LEO
2.
Ujasiliamali katika kilimo, ufugaji, uendeshaji biashara na uzalishaji mali au huduma nyingine
3.
Maboresho katika kukabiliana na changamoto za maendeleo ya jamii
4.

Maendeleo katika jamii:
A: Elimu ya wanafunzi walioko mashuleni na nje ya shule pamoja na elimu ya watu wazima.



B: Afya ya msingi- Afya uzazi: mama na mtoto. Ujana utu uzima na uzee.
C:Afya kinga: magomjwa yanayopewa kipaumbele na yale mengine


D: URAIA: Haki na wajibu wa raia na serikali katika Jamii
5.
A: BURUDANI: Sanaa na wasanii

Michezo na uchambuzi

Riadha
6.
UPASHANAJI HABARI
7.
DINI
8.
AKINA MAMA
9.
WATOTO


10.
WANAJAMII WENYE ULEMAVU
11.
VIJANA NA UJANA

Leave a Reply

Followers


 
UVINZA FM COMMUNITY RADIO © 2012 | Designed by Emmanuel Hilonga